Jumapili, 22 Juni 2014

HOW YOU CAN READ FOR BETTER UNDERSTANDING AND PASSING EXAMS


Many people have discussed this topic, but many emphasized on  reader’s circumstances like time for reading, reader’s willingness,place for reading  etc. My emphasis will be specifically on reading  itself which is the source of understanding and passing exams.

The fundamental concept of reading for better understanding and passing, is actually upon  what and how you read and does not depend upon the reader’s surroundings or situation. Remember, we are reading what have been written by human and not angels, therefore we do not require all of them. We need only unique ideas from them which are boon (useful) to our mentality growth.


 The major purpose of reading is strengthening our mentality by absorbing those unique ideas from authors. mentality  is our best capacity of intelligence we use for reasoning and defining things.

Philosophically many will comply with me that, raeding is a better way for accumulating new ideas though there are many ways. Furthermore  the conception of reading is based on strengthening our thoughts for imbibing the knowledge from authors .This is definitely different from colleting  abundant of things from books to mind for
answering examination.

Thank you for being along with me on this preface, now I beg you to continue getting new ideas in your better reading and passing exams.

      1.       PICK UP MAIN IDEAS OF THE AUTHOR

Iam insisting you to take fully attention on this section because this is where the basis of our topic determined.
When I recommend you to pick up main ideas of the author, I mean you must be curious to know the intention or liability of the author’s topic .This will help you not to be confused by the prolonged topic or author’s writing style. You ought to be very keen on your reading concerning with clarifying author’s  main ideas(unique ideas) because that is what your thoughts need.


             STAPES TO FOLLOW IN CLARIFYING MAIN IDEAS FROM AUTHOR.

 A.  UNDERSTAND EVERY SENTENCE OR EVERY WORD IF POSSIBLE IN A TOPIC

It will help you in making  general review for particular topic with no difficulties from what you have read. Many readers are found themselves into reading difficulties for not understanding what they have read .With their reading willingness consume more energy in studying but finally no new ideas obtained due to lack of understanding what is said in a topic.

There are several helpful tools concerned with this like dictionary and more as I have discussed them in section (vii)

B.      EXAMINE YOUR COMPREHENSION  ON A TOPIC YOU READ

Immediately after ending up reading the topic or part of it, close up text book and ask yourself a simple question. What are major facts of the topic?. Now you can describe them comprehensively or in a prepared piece of  paper  by using your familiar language.
Briefly write down what you read then turn back to text book to satisfy yourself that you have managed to collect all main ideas from the author. This will give you more curiousness on the concerned topic since you will be ambitious to know your mistakes in a trial brief. The briefing will help you only being familiar with  the topic whereas  you will be ready for next stape.

Mind you that; many readers end up at this stage and involve into answering questions instead of moving forward  into next stage which is more important than questions6. Questions ends up only at school but mentality is within us always thus building it stronger and stronger should be prioritized.

      C.      LIST ALL MAIN IDEAS OF THE AUTHOR AND DESCRIBE THEM BY YOUR OWN WORDS

This is the specific important stage for gathering new ideas in your reading. Arrange the new ideas acquired from a topic as it is in this HIV topic example.

*meaning of HIV
*HIV transmission
*HIV prevention

Let us assume that these are main ideas revealed in a long HIV topic. Then you can explain as much as you can with the authors language if possible without misconception. Use effectively all main ideas available in the topic starting from the beginning up to the end.

Finally make sure that you have succeeded collecting all main ideas. If not settle for a little moment and then re-start  .

This process will enable you to make the topic being almost yours and not only author’s. From there you will be ready for questions or any presentation of the topic.This is what is known as the reading for better  understanding and passing exams. For sure your mentality is absolutely changed.Besides that you can contribute with your own views in a subjet. Now the subject  is not temporally  tied in your mind that  can accidently drop down and crash but it is the part of your comprehension. Now clearly you can explain about the topic with your own words and not author’s ones.

II. READ ONE TOPIC AT A TIME

Reading more than one topic at a time may affect efficiency of your mind then disable you to commit it to memory. I recommend  that,  having  only one topic at a time is more effective way for reading.


III. REVIEW  THE NOTES PREPARED BY YOURSELF
Reviewing your own prepared  notes is more important because it will help you to easily keep in memories  what you have read from the particular subject. Most of we readers tend to have funny reading. We directly hit on somebody’s  notes  or text book for cramming  without digesting them so that they become absorbable then finally being  part of our comprehension .   Don’t  waste  your time for impelling yourself assimilating somebody’s conception before converting it to become your imagination .


IV. REVIEW THE SAME SUBJECT FROM OTHER AUTHORS

Now being experienced with the subject, you can review it from other authors. That will make you competent on the subject that you can independently describe and observe with some research on it. 

V. KEEP THE TIME WHEN READING

Iam not optimistic to what time is suitable for reading . some recommend that the suitable time for reading  is eight O’clock to ten O’clock evening . Some recommend  four O’clock to ten O’clock morning.
I don’t want to argue with them but I believe somebody can read/study at any time except he/she is totally  tired .


You are required not to involve into any business out of reading. Many loose attention for their reading when they simultaneously reading while chatting, talking, watching news, listening to beats/music etc. This causes them to loose most of their new obtained ideas when considering what is going on out of reading. Eventually it makes their general review to become unexpected.

VI. AVOID OVERNIGHT STUDYING

 Overnight studying style is encouraged by wrong notion and is totally  pessimistic. For the sake of drawing attention to their learners, some old teachers could claim to have overnight studies during their schooling age.

It is unhopeful using this way because it may confuse you since you
will have no time to clarify major facts from what you are reading. That is due to a number of topics being read at a time without having time for distinguishing and analyzing main factors. Consequently you will not be able to make the new information become part of your knowledge.

VII. USE THE CORRECT DEVICES/TOOLS  IN YOUR READING /STUDY

There are number of DIVICES/tools that can make your study become luxury so that you can study while enjoying it. The  following are some useful tools for reading.

COMPUTER 


You can find a computer and install some useful softwares for studying .These softwares are like ADOBE READER, PDF-SUITE, PDF CREATER, GOOGLE DRIVE and more alike.They may help you to convert format of your files and easily save them online with GOOGLE DRIVE through your GOOLE ACCOUNT or ADOBE ACROBAT ACCOUNT. 

That is an extra benefit once your files in your computer or elsewhere are damaged or stolen.You can possibly  access them online through even your mobile. Apart from that, adobe program can be enhanced to raed aloud for you and you becoming  a listener.

You can install different dictionaries according to your needs. microsoft office has been so useful software for both scholars and officers therefore you can install a very suitable version for your studies.
By using your  computer you can share your notes and questions with your friends  by using window installed in it as fast as you want .

Once you become disabled or blind with your computer you can still progress with your reading or studies. You can use some application programs like speech recognition,Dragon naturally speaking,TalkItTypeIt etc which after editing  some commands, you can speak and your computer can type for you.

You can click (jinsi ya kusoma kwakusikiliza adobe in Kiswahili) and learn from pictures how you can use adobe to read from listening to your computer.



These tools can store electronic memories like pictures, voice and writings according to the capacity of your tool. You can carry as many pages as for the year for your studies depending on the capacity of your flash or disc. All of these can be used at any computer or laptop anywhere you find them.
Mind you that; these tools once they are damaged can’t be able to show the stored data therefore it’s better to store the same data in another tool for it’s safety.
  


Many of the smart phone or tablets can play major role in our studies or reading especially when we are far from home. What you can do to those who don’t have window phone,is to download the application program online that can function in many android phones. These applications may help you to open PDF and XPS format  files that will have been stored in your phone memory or memory card attached to your phone. Also can help opening files stored online.

Some application program with easy functionality in android phone are android pdf viewer,quickoffice and e-book droid  .You can also download other application like online dictionary,Wikipedia  which can be helpful for giving you instant translation to the new vocabularies.



It is very important for somebody with substantial desire for understanding and passing exams to have this tool or one alike. Dictionary will help you to translate new vocabularies used by author  instead of asking from another person.

By using this aid to your reading, Iam sure you will be benefited a lot. Now you will not continue With your common reading style but the most constructive like one obove.



  


Jumapili, 15 Juni 2014

SABABU ZA KUFELI MTIHANI


Baada ya kutatua tatizo la uandikishwaji  wa wanafunzi wapya mashuleni na vyuoni  kila mwaka, karibu duniani kote,Hivi sasa kumeibuka tatizo jipya la kufeli mitihani.Tatizo hili ambalo wengine kwa kuogopa neno matatizo  wamelibatiza jina changamoto, limekuwa kubwa karibu duniani kote.

Kwa ufupi karibu kila mahali duniani uandikishwaji (udahili) wa wanafunzi wapya umeongezeka.

Mfano mzuri ni kwa Tanzania ambayo ni moja ya nchi ya mfano kusini mwa jangwa la sahara. Ilitimiza dira ya maendeleo ya dunia ya elimu ya mwaka 2025 kwa kufikia uandikishaji wa 103% hapo mwaka 2012.Vile vile takwimu za banki ya dunia zinaonyesha kuwa mpaka kufikia mwaka 2010 ilifikia 95.4% ya uandikishaji wa wanafunzi kwa shule za msingi toka chini ya asilimia 60% mwaka 2000.

TAKWIMU KWA UFUPI

Mafanikio hayo sio kwa Tanzania tu, bali zipo na nchi nyingine zilizofanya vizuri katika uandikishaji wa watoto shule . Miongoni mwa nchi hizo ni

ARMENIA 114 mwaka 2009,    AUSTRALIA 100% mwaka 2009,

BAHAMAS, THE 103% mwaka 2009 ambayo ilishuka 1% mwaka uliofuata,

BANGLADESH 105% mwaka 2009,   GHANA 100% mwaka 2013,

GERMAN 100% mwaka 2009,   CHINA 100% mwaka 2009,

GUYANA 108% mwaka 2009, UNITED STATES 100% mwaka 2009 na kushuka 2% mwaka 2012.

kwa nchi za afrika mashariki

KENYA 98% mwaka 2009 na hakuna takwimu kwa miaka iliyofuata,

UGANDA 102% mwaka 2011,

BURUNDI 99% mwaka 2012,

RWANDA 103% mwaka 2009 na kushuka 1% mwaka 2012.

Takwimu hizi ni kwa mujibu wa bank ya dunia kwa watoto wenye umri wa kwenda shule.
Kutokana na kuongezeka kwa uandikishwaji wa watoto shule za msingi hata sekondari na vyuo vimepata ongezeko kubwa la wanafunzi wapya kila mwaka.Isingetosha kutazama takwimu kwakua sio mada yake.

TATIZO LA KUFELI MITIHANI.

Tatizo hili limekuwa ni kubwa sana na kuwaathili  wazazi ,walezi ,walimu ,serikali na hata  wanafunzi wenyewe.Ukubwa wa tatizo umesababishwa na wadau wenyewe wa elimu ikiwamo wanafunzi.Mbaya zaidi ni kwamba katika kushughulikia hili tumejikita zaidi katika mambo ambayo yako nje ya uwezo wetu na sio yaliyo ndani ya uwezo wetu.

Leo ukimuuliza mtu kwa nini wanafunzi wanafeli mitihani? Atakujibu kirahisi tu kuwa madawati hayatoshi.mwingine atakwambia walimu hawatoshi.
Ninachotaka kusema ni kuwa hata kama kila mtu atakaa kwenye kiti chake darasani na kupata mwalimu wa kumfundisha peke yake, kunauwezekano bado wa kupata watu wanaofeli mitihani. Najua utashangaa kidogo kwa maelezo hayo yaliyo kinyume kabisa na mawazo ya wengi.Ila utanielewa katika kipengele kinachofuata.

KWA NINI WATU WANAFELI MTIHANI

Tatizo kuu la watu kufeli mtihani ni kutoelewa walichojifunza au kuelewa kwa kiasi kidogo sana.Kutoelewa kunatokana na sababu kadhaa ambazo zimeorodheshwa hapo chini tafadhali pitia kwa umakini.

1.UWEZO MDOGO WA KUELEWA HARAKA

Kila mtu hapa duniani ana akili,tena akili za kutosha, isipokuwa kwa wale wenye magonjwa yanayohusiana na akili.Kusema hivyo ni kwamba kila mtu anauwezo wa kufaulu mtihani, ilimradi tu kama alipata nafasi ya kujifunza.

Watu wenye uwezo mdogo wa kuelewa haraka huwa wanafeli kutokana na kutopata muda wa kutosha kueleweshwa.Kundi hili lina idadi kubwa sana ya watu mashuleni kuliko wale wanaoelewa haraka.Kwa kawaida mwalimu hutumia dakika zisizozidi 40 darasani akifundisha.Ni dhahili kuwa muda huu hautoshi kufanya kila kitu kinachomwezesha mwanafunzi kubaki ameelewa 100%.Hivyo kundi la hawa wanafunzi wasioelewa haraka hubaki na pengo la kuelewa kila siku wanapotoka darasani.

Wakati bado wanashughulikia pengo lao ili wafanane na wale wenzao walioelewa,  hujikuta wakikabiliwa na mitihani.Matokeo yake hujikuta wakijibu mtihani ama kwa jinsi wanavyoelewa wao au kwa kubahatisha, hivyo kufeli mtihani.

SULUHISHO.

Ni vizuri kujikagua hasa kwa wale wanafunzi wakubwa, kama unatatizo la kutoelewa haraka.Utafahamu kirahisi kama unatatizo hilo kwa kujipima na wenzako ambao mnajifunza pamoja kwa kuona wakiwa wameelewa na wewe ukiwa bado.Pia unaweza kujipima kwa kujiuliza maswali madogo madogo yanayohusiana na ulichojifunza kuona kama unaweza kujijibu. Pia kwa wale wenye watoto unaweza kumpima  kwa kumlinganisha na watoto wengine au kwa maswali madogo madogo.

Utatuzi sio kwenda ( kumpeleka mtoto)  tuition, kwani hata huko unaweza kukumbana na tatizo lilelile.Cha kufanya ni kutumia muda mrefu zaidi kujifunza kitu kilekile hata kama ni kwa mwalimu yuleyule mpaka uelewe.Hapo ndipo utakapoona unafaulu.kumbuka hata ulipoanza kujifunza kusema  ungali mdogo, ulikosea kila neno ,lakini kila siku ulirudia maneno yaleyale mpaka sasa huhitaji hata kujikumbusha unapotaka kuyatumia.


2. ULEMAVU
Kama mwanafunzi hajakaguliwa sawasawa kuhusiana na ulemavu na kuhudumiwa kipekee ,kunauwezekano mkubwa wa kufeli mtihani.ulemavu ambao una madhara makubwa sana katika ufaulu ni pamoja na ulemavu wa akili,uoni hafifu na kutosikia vizuri.Kuna baadhi ya wanafunzi wenye uoni hafifu au kutosikia vizuri wasiojulikana na walimu wao.Kwasababu ya kutojulikana kwao hujikuta wakijifunza kwa mashaka tu mpaka mwalimu  anamaliza kufundisha  darasani.Matokeo yake hujikuta wakiwa hawajaelewa mpaka mitihani inapowakuta.

SULUHISHO

Ni vema kujikagua au kumkagua mwanafunzi kama ana matatizo niliyokwisha yataja.Endapo kama unamatatizo hayo au mojawapo basi ni vema kuhakiki kuwa hayaathili kuelewa kwako.Kama yana athili basi tumia njia inayokufanya uelewe na sio kubaki na deni la kutoelewa kila utokapo darasani.

3.UWEZO MDOGO WA KUCHUKULIANA NA MAZINGIRA

Mwanafunzi mwenye uwezo mdogo wa kuchukuliana na mazingira, anaweza kuelewa taratibu au kutoelewa kabisa na kujikuta akifanya vibaya katika mitihani yake.Hapa ndipo unapokuja ule usemi ninaoupenda sana usemao kile usichoweza kukizuia kiepuke.

Mazingira yanaweza  kumuathili mwanafunzi endapo kama hatoelewa nini cha kufanya wakati yanapofikia hatua ya kuathili uelewa wake darasani.
Hapa ndipo unapoweza kuona tofauti .Kwamba mwanafunzi anayeishi katika mazingira magumu au kutoka familia yenye kipato kidogo na vyenzo chache za kujifunzia anafaulu mtihani, lakini Yule mwenye kila kitu anafeli.Yote inatokana na uwezo wa kifikra alionao mwanafunzi katika kukabiliana na mazingira kama hayo.Uwezo huu huwa ni wa kibinafsi zaidi na sio ule unaotokana na mafunzo maalumu.


Mazingira yenye athali yanaweza kuwa uchumi duni,uhaba wa walimu au wakufunzi,umbali wa shule au chuo,uwezo mdogo wa walimu au wakufunzi kufundisha,nyenzo chache za kujifunzia au  kufanya mazoezi (practicals),changamoto za kirika (mapenzi,starehe).Hivi vyote ni vikwazo katika kuelewa kwa mwanafunzi shuleni.

SULUHISHO

Kama kunamazingira yeyote yanayokufanya au yanayomfanya mwanafunzi kushindwa kuelewa darasani au kwingineko, jambo la kwanza ni kuyaepuka.Ikiwa ni umbali tafuta kukaa karibu na shule/ chuo,kama ni uwezo  duni wa walimu au wakufunzi tafuta wakufunzi,kama ni nyenzo chache jifunze kutumia zilizopo au zinazopatikana kwingineko.

Tafuta na kuelewa kama udhaifu  wa kuelewa kwako  darasani  unasababishwa na mazingira uliyonayo. mazingira usiyoweza kuyakabili unachofanya ni kuyaepuka .Kuepuka ni njia rahisi sana katika mapambano yeyote yale.Nafikiri endapo kama utapewa miujiza ya kuweza kukwepa masumbwi yoyote hapa duniani, basi ungelijitosa katika mashindano ya masumbwi ya pesa nyingi kwa kutegemea uwezo wako wa kukwepa masumbwi.Ungefanya hivyo kwa kuwa usingetegemea kupangua au kuhimili kipigo cha konde lolote kutoka kwa mshindani wako kwa kuwa unauwezo wa ajabu wa kukwepa makonde.

Endapo mazingira uliyonayo hayaepukiki basi njia ya pili ni kujenga nayo urafiki ili uyatumie kwa manufaa yako.Anza kujenga ukakamavu wa kuishi katika mazingira ambayo huyapendi ili yasiharibu uelewa wako darasani.

Sote tunafahamu kuwa gerezani ni mahala penye maisha magumu sana ,lakini mfungwa anaweza kuishi miaka 30 na zaidi.

Sote tukisikia mlipuko wa bomu au risasi tunakimbia hovyo ,lakini askari anaweza kukaa vitani na milipuko hiyo mpaka atakapopata amri ya mkuu wake kuondoka ili asifukuzwe jeshini.

Sote tunafahamu kuwa ni vigumu kwa binadamu yeyote kukaa macho usiku mzima bila kulala, lakini leo tuna mamilioni ya watu duniani wanaokesha kwa hiari yao viwandani ili mwisho wa mwezi waweze kujipatia kipato.

Kwasababu hiyo hata wewe unaweza kujenga ukakamavu wa hiari kukabiliana na mazingira uliyonayo ili yasipunguze uelewa wako darasani .Kwa kuzingatia ushauri huu nina imani sasa hautafeli tena mtihani na utakuwa msaada kwa wengine.


Usikose ku “ LIKE” page yetu ya facebook ujipatie masasisho mapya kila yanaporushwa kwenye mtandao. karibu. https://www.facebook.com/pages/Free-tuition/260313704137723?ref_type=bookmark

Alhamisi, 12 Juni 2014

BOOKS SERVICE ANYWERE YOU ARE


Now books are available wherever you are . No matter which kind of book you are looking for and where did you saw it, through our contacts we can bring it where you are . 

For now, available books are HARD COPIES and E-BOOKS.You can get Hard copies for all kind of books,  but for E-BOOKS only few (skills books).

KIND OF BOOKS AVAILABLE ARE,

GENERALITIES,

PHYLOSOPHY & PSYCHOLOGY,

SOCIAL SCIENCE,

LANGUAGE,

NATURAL SCIENCE & MATHEMATICS,

TECHNOLOGY ( APLIED SCIENCE),

THE ART,

LITERATURE & RHETORIC,

GEOGRAPHY & HISTORY.

Price will be announced on our facebook page therefore” LIKE” our facebook page to get updates all the time .You can get  wholesale  and retail regardless to the distance of your district or region from DAR ES SALAAM. 

Since it’s not easy to announce all books price, you can communicate with us through our contacts.

Mobile : 0758 73 17 13
Mobile  : 0653 67 00 13

We are located at ,  ILALA/ DAR ES SALAAM / TANZANIA

HUDUMA YA VITABU MPAKA NYUMBANI


Sasa vitabu vinapatikana popote ulipo.Bila kujali ni kitabu cha aina gani na ulikiona wapi, kupitia mawasiliano yetu utaletewa popote ulipo.

Vitabu vinavyopatikana kwa sasa  ni Hard copies na E-books.Hard copies ni kwa aina zote za vitabu  na E-Books ni kwa baadhi ya vitabu (short skills books).Unaweza kujipatia kwa jumla na rejareja bila kujali wilaya au mkoa unaoishi .

Aina ni zote , ikiwamo

GENERALITIES,

PHYLOSOPHY & PSYCHOLOGY,

SOCIAL SCIENCE,

LANGUAGE,

NATURAL SCIENCE & MATHEMATICS,

TECHNOLOGY ( APLIED SCIENCE),

THE ART,

LITERATURE & RHETORIC,

GEOGRAPHY & HISTORY.

BEI YETU ITAKUWA IKITANGAZWA KWENYE UKURASA WETU WA FACE BOOK. HIVYO LIKE UKURASA WETU UPATE TAARIFA MPYA KILA WAKATI .KWA KUWA NI VIGUMU KUTANGAZA BEI YA KILA KITABUWASILIANA NASI KUPITIA  MAWASILIANO YAFUATAYO,


Simu    : 0758 73 17 13

Simu    : 0653 67 00 13


TUKO  ILALA/ DAR ES SALAAM/ TANZANIA




Jumapili, 8 Juni 2014

ALAMA MPYA ZA UFAULU TANZANIA

Alama hizi ni kwa mujibu wa WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI.
Kutokana na taarifa ya serikali kupitia KATIBU MKUU WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ufuatao  ndiyo utaratibu mpya wa upangaji wa alama za ufaulu kwa kidato cha nne na sita.Utaratibu huu utatumika kwa mzunguko wa  miaka minne labda kama kutakuwa na ulazima wa kufanya mabadiliko kabla ya kipindi hicho.

Kuna miundo mikuu miwili ya upangaji wa matokeo .
      1.       Ule unaotumika katika kupanga matokeo shuleni.
      2.       Ule unaotumika katika kupanga matokeo baraza la mitihani.

Mgawanyo wa alama upo katika majedwari hapa chini kama yanavyojieleza na ufafanuzi wa ziada uko baada ya majedwari hayo.

JEDWARI NA .1. ALAMA ZA UFAULU ZILIZOZOELEKA MASHULENI MIAKA YOTE


1.

Kabla ya mwaka 2012 muundo wa viwango nyumbufu (flexible grade range) ulitumika,  ambapo wigo wa alama  ulibadilika badilika kulingana na ufaulu wa mwaka husika.mwaka 2012 serikali iliamua kutumia viwango vya alama mgando (fixed grades)kwa kidato cha nne na cha sita.mifano ya miundo iliyotumika ni kama unavyoweza kuona hapa chini.



JEDWARI NA . 2. ALAMA ZA UFAULU ZILIZOTUMIKA  MWAKA 2012 KIDATO CHA NNE.


2.

















JEDWARI NA .3. ALAMA ZA UFAULU ZILIZOTUMIKA MWAKA 2012 KIDATO CHA SITA.

3


Mifumo hii ya baraza haikuwa inafahamika sana hivyo kuleta manung’uniko katika secta ya elimu.hivyo serikali ikashirikisha wadau na kuja na mfumo huu hapa chini.


JEDWARI NA. 4. ALAMA MPYA ZA UFAULU KUANZIA MWAKA 2013 KWA KIDATO CHA NNE NA 2014 KWA KIDATO CHA SITA.Huu ndiyo mfumo teule unaotumika sasa.


4
















JEDWARI NA  .5.  UFAFANUZI WA JEDWARI NA.4.   MUUNDO WA ALAMA NA UFAULU.Huu ni muachano wa alama kutoka wigo hadi wigo.


5.



JEDWARI NA  .6.   UFAFANUZI WA ZIADA  JEDWARI NA.4.   MUUNDO WA MADARAJA.

6.


JEDWARI LA NYONGEZA NA.7.ALAMA ZA UFAULU KWA WATAHINIWA WA ELIMU YA MSINGI.Tazama hapa chini.


7.

Watahiniwa wa elimu ya msingi viwango vyao vya ufaulu vinapimwa kwa alama 250.Mfano halisi unaweza kuuona katika jedwari hilo hapo juu.


UFAFANUZI WA ZIADA KWA JEDWARI NA.1 ,2na3

Kabla ya mwaka 2012 yaani 1973 hadi 2011 Tanzania ilitumia viwango nyumbufu katika upangaji wa matokeo ya ufaulu  yaani (flexible Grade Range ).Viwango hivi vilibadilika kulingana na ufaulu uliojitokeza kwa somo husika.Hivyo ndiyo kusema kuwa hakukuwa na kiwango cha aina moja cha alama za ufaulu katika kila somo na kwa kila mwaka.

Mwaka 2012 serikali iliamua kutumia viwango mgando yaani (fixed grades)katika kutunuku matokeo kwa wahitimu sekondari.Lengo la kufanya hivyo lilikua ni kuwaweka wazi wadau wa elimu kufahamu viwango vinavyotumika katika kupata matokeo ya ufaulu kwa wahitimu hao.

Pia wizara iliunda kamati maalumu ambayo ilipitia taarifa mbalimbali na kutoa mapendekezo ya  mfumo utakaofaa katika kuweka viwango vya ufaulu.mapendekezo hayo yalipelekwa kwa wadau mbalimbali ili watoe maoni kuhusu utaratibu mpya utakaoyumika katika kupata matokeo ya kidato cha nne na sita.

WADAU WALIOSHIRIKI KUTOA MAPENDEKEZO.

Jukwaa la Taasisi za Elimu ya juu,Chama cha Wakuu wa Shule za Sekondari Nchini (TAHOSSA) wakuu wa vyuo vya ualimu vya umma,Wamiliki na Wakuu wa Shule na Vyuo Visivyo vya Serikali (TAMONGSCO), wakaguzi wa shule kanda,Muungano wa Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya Juu nchini (TAHLISO), viongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar,walimu, wanafunzi, wazazi, maafisa elimu Mkoa, Wilaya pamoja na maafisa taaluma wao,  wadau kutoka Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wanataaluma na Wanasiasa.

MATOKEO YA MAPENDEKEZO YA WADAU

      1.    Walipendekeza kuwa utaratibu wa mfumo nyumbufu (flexible grades) sio mzuri na badala yake utumike mgando (fixed grades).

      2.    Wadau pia walipendekeza kuwa muachano wa makundi ya alama uwe kwa kiwango cha alama kumi kumi.

      3.    Walipendekeza kuwa mfumo wa tahtimini ya matokeo endelevu au CA (Continuous Assessment) ujumuishwe katika kupata matokeo ya ujumla ya kuhitimu kidato cha nne na sita.mapendekezo hayo yalidai kuwa matokeo hayo endelevu ambayo ni yale anayoyapata muhitimu awapo shuleni yawe yanachangia kwa 40% na yale ya mtihani wa mwisho yachangie 60%.

Ikumbukwe kuwa katika sera ya elimu na mafunzo ya mwaka 1995, matokeo endelevu kutoka shuleni yamepangwa kuchangia kwa 50%.Lakini tangu kuanza kutumika kwa sera hiyo utaratibu huo haujawahi kutumika.

(maana ya matokeo endelevu.ni matokeo anayoyapata mwanafunzi katika mitihani yake ya wakati wa maendeleo ya elimu yake kabla ya mtihani wa mwisho kuhitimu darasa la saba,kidato, cha nne au cha sita.)Matokeo haya katika sera ya elimu yamejumuhisha ufaulu kitaaluma,nidhamu,ushirikiano nk.

     4.    Walipendekeza kuwa ili kuimarisha uwezo wa kufikiri na kuandika kila mwanafunzi afanye project na matokeo yake yajumuhishwe kwenye matokeo ya mwisho.

     5.    Pia walipendekeza kumpa mwalimu fursa kwa kuchukua sehemu ya  matokeo ya muhula wa kwanza na wa mwisho wa kidato cha tatu katika kupata matokeo ya jumla.

     6.    Wengi walipendekeza kuwa muundo wa sasa wa madaraja uimarishwe na kuanzisha MUUNDO WA WASTANI WA UFAULU.(Grade Point Average au GPA)

     7.    Mwisho wadau walikubaliana kuujalibu utaratibu huu kama  mfumo halisi kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2012 na 2013 kwa kidato cha sita.Zoezi hili lilifanyika

MAAMUZI YA SERIKALI.

Serikali kupitia wizara ya elimu iliridhia sehemu kubwa ya maoni ya wadau kisha  kupendekeza na kutangaza viwango vipya vya ufaulu kwa mwaka 2013 kwa kidato cha nne na 2014 kwa kidato cha sita kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwari na.2 na 3.

UFAFANUZI WA JEDWARI NA 4..

     1.    Kwa wale wasiofahamu kila alama ina namba yake ya utambulisho inayotumika katika     kutoa points.kwa msaada zaidi tumia jedwari na 4.

      Mfano,chukulia mtahiniwa ana alama zifuatazo katika masomo yake. Uraia A,Jiografia B,historia A,Hisabati D,kiswahili A,Bailojia C,kiingereza C.kufahamu mtahiniwa huyu ana point ngapi, italazimu kufanya ifuatavyo.

      A+B+A+D+A+C+C=1+2+1+4+1+3+3=15
      kwa kuwa A=1, B=2, D=4  na  C=3 .Hivyo jumla ya points atakazokuwa nazo mtahiniwa huyu ni 15.Tukitaka kufahamu kuwa mtahiniwa huyu yuko katika daraja gani (division)Tunaweza kutumia jedwari la ufafanuzi na 6 hapo juu,ambapo atakuwa ndani ya point 17 ambazo ndiyo wigo wa daraja la kwanza.
  
      Kusema hivyo ni kwamba mtahiniwa ataingia kwenye daraja la kwanza moja kwa moja kulingana na point alizonazo.Unaweza kufanya hivyo kwa matokeo yeyote ukitumia majedwari hayohapo juu. 

     2.    CA( Continuous Assessment ) au tathmini ya matokeo endelevu ya sekondari yatatokana na mtihani

wa kidato cha pili (alama 15),

 Matokeo kidato cha tatu alama 10 kwa mihula yote miwili,

Mtihani wa mock alama 10,

Kazi mradi au projects alama 5.

     3.    KIDATO CHA SITA wao wataendelea na CA inayotumika sasa.

         WATAHINIWA BINAFSI AU PRIVATE CANDIDATES 

1.kwa wale wanaorudia mitihani yaani Reseaters CA zao zitatumika zile zilizotumika wakati wa mitihani yao ya awali.

2.Kwa wale waliopitia katika utaratibu wa QT(Qualifying Test) yaani mtihani wa maarifa Matokeo ya mtihani wa maarifa utatumika kama CA( Tathmini ya matokeo endelevu)kwa kuchangia 40% na matokeo ya mwisho yatachangia 60%

     5.    Muundo wa alama katika ufaulu (Grade Point Average) utaanza kutumika pale utakapokuwa tayari.