Alhamisi, 12 Juni 2014

HUDUMA YA VITABU MPAKA NYUMBANI


Sasa vitabu vinapatikana popote ulipo.Bila kujali ni kitabu cha aina gani na ulikiona wapi, kupitia mawasiliano yetu utaletewa popote ulipo.

Vitabu vinavyopatikana kwa sasa  ni Hard copies na E-books.Hard copies ni kwa aina zote za vitabu  na E-Books ni kwa baadhi ya vitabu (short skills books).Unaweza kujipatia kwa jumla na rejareja bila kujali wilaya au mkoa unaoishi .

Aina ni zote , ikiwamo

GENERALITIES,

PHYLOSOPHY & PSYCHOLOGY,

SOCIAL SCIENCE,

LANGUAGE,

NATURAL SCIENCE & MATHEMATICS,

TECHNOLOGY ( APLIED SCIENCE),

THE ART,

LITERATURE & RHETORIC,

GEOGRAPHY & HISTORY.

BEI YETU ITAKUWA IKITANGAZWA KWENYE UKURASA WETU WA FACE BOOK. HIVYO LIKE UKURASA WETU UPATE TAARIFA MPYA KILA WAKATI .KWA KUWA NI VIGUMU KUTANGAZA BEI YA KILA KITABUWASILIANA NASI KUPITIA  MAWASILIANO YAFUATAYO,


Simu    : 0758 73 17 13

Simu    : 0653 67 00 13


TUKO  ILALA/ DAR ES SALAAM/ TANZANIA




Hakuna maoni:

Chapisha Maoni